Kondoo Aliye Potea Kondoo Aliye Potea

Kondoo Aliye Potea

    • $4.99
    • $4.99

Publisher Description

Hili ni fundisho la Luka 15:3-7. Katika njia nyingi fumbo hili linahusu namna ya kuwa Mchungaji mwaminifu wa Kondoo wa Mungu. Inafunua moyo wa Bwana Yesu kwa watu wake wa Thamani ambao wamepotea nji. Ni wito kwa wote ambao watasikia mafundisho yake kuusikia moyo wa Mungu kwa ajili ya wale mbao ushirika wao na furaha vimezuiliwa. Huduma ya kurejesha kondoo kwenye ushirika si kazi rahisi. Ni kwa mtu ambae, anapendezwa na moyo wa Mungu. Nina shawishika kuwa utajri wa Baraka zake zitakaa juu ya wale wanaoshiriki kujali kwake kwa ajili ya Kondoo waliokwenda mbali.

GENRE
Religion & Spirituality
RELEASED
2015
10 April
LANGUAGE
SW
Swahili
LENGTH
44
Pages
PUBLISHER
F. Wayne Mac Leod
SELLER
Draft2Digital, LLC
SIZE
263.8
KB

More Books by F. Wayne Mac Leod

Daniel, Hosea and Joel Daniel, Hosea and Joel
2015
Deuteronomy Deuteronomy
2014
East of Eden East of Eden
2014
Serving God Serving God
2019
Simon of Cyrene Simon of Cyrene
2019
Galatians and Ephesians Galatians and Ephesians
2015