Heri ni… Heri ni…

Heri ni‪…‬

Kiswahili

    • $ 5.900,00
    • $ 5.900,00

Descripción editorial

Hazitafaidi juhudi za mtu yeyote, maisha ya kupendeza na yaliyojaa maana kuyafikia. Udini na matendo yote mema hayatamsaidia mtu kupatana na kuwasiliana na Mungu. Ni bure jitihada za kumtafuta Mungu katika asili (maumbile) na falsafa (filosofia). Njia ya mwanadamu kujaribu kumfikia Mungu ni ruzu na haina msingi. Hata hisia zake zinamuarifu hivyo. Kwa hivyo hana amani. Katika fahamu zake na hata bila kufikiria mwanadamu anamtafuta Mungu. Mnyeo (tamaa) ya ferdausi (paradisi) aliyoipoteza inamtesa. Kwa nishati (nguvu) na juhudi tele mwanadamu anajaribu kwa namna fulani kuuondoa utengano kati yake na Mungu.

Mkono wa Mungu Muumba uko juu yake na mwanadamu ameumbwa kwa ajili yake Mungu (ili akawe na uhusiano na Mungu Muumba wake). Lengo la maisha ya mwanadamu sio tu kujitambua na kujitegemea. Maana ya maisha ya mwanadumu ni katika Mungu peke yake.

Mtu aitafutaye maana ya maisha atawajibika kujishuhulisha na swala kuhusu Mungu na wala hakuna njia nyingine kamwe.

GÉNERO
Religión y espiritualidad
PUBLICADO
2014
13 de mayo
IDIOMA
SW
Suajili
EXTENSIÓN
40
Páginas
EDITORIAL
Gospel Medien e.V.
VENDEDOR
Craft AG
TAMAÑO
1.7
MB

Más libros de Petra Schaadt & Rochus Schaadt

Jletjlijch sent... Jletjlijch sent...
2014
Hạnh phúc là... Hạnh phúc là...
2014
ผู้ที่มีความสุข... ผู้ที่มีความสุข...
2014
​Szczęśliwi są... ​Szczęśliwi są...
2014
Ne Mutlu… Ne Mutlu…
2014
Laimīgi ir tie... Laimīgi ir tie...
2014