Nyayo Za Obama Nyayo Za Obama

Nyayo Za Obama

    • 0,99 €
    • 0,99 €

Beschreibung des Verlags

"Nyayo Za Obama" ni kati ya vitabu vichache vilivyoandikwa kwa Kiswahili sanifu ambavyo vinazingatia historia ya ya Marekani, raia zake, uchumi na majukumu yake ya uongozi katika dunia ya utandawazi.Kati ya uongozi wake muhimu ni ule wa taasisi za kimataifa kama vile Umoja wa Mataifa, Taasisi za Bretonwoods kama vile Benki Kuu ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), nk. KIkifuatilia maisha ya rais wa 44 wa Marekani kuanzia nasaba yake ya Kiafrika, hadi alikofikia kwenye kilele cha siasa ya Marekani, kinaeleza kinaganaga jinsi Barack Obama alivyoanza amali yake ya siasa, mbinu alizotumia kupiku wapinzani wake wakubwa hasa katika kampeni za kinyang'anyiro cha urais hadi kwenye tamati ya ushindi wake wa kihistoria. KItabu hiki kimeandaliwa kwa wasomaji wale wenye ujuzi wa lugha nyingine hasa Kiingereza, ili kuweza kujieleza vizuri kwa Kiswahili bila kulazimika daima kukopa maneno au semi kutoka kwa lugha ya Kiingereza. Kwa ajili ya lengo hilo, kurasa za mwisho za kitabu hiki kinacho msamiati mahasusi unaosheheni tafsiri za maneno mengi ya Kiingereza katika Kiswahili sanifu.

GENRE
Biografien und Memoiren
ERSCHIENEN
2015
4. April
SPRACHE
SW
Swahili
UMFANG
269
Seiten
VERLAG
Safari E. Ohumay
GRÖSSE
238,3
 kB

Mehr Bücher von Safari E Ohumay

Second Death Of Husband Second Death Of Husband
2015
The Footsteps of Barack Obama in A Changing America The Footsteps of Barack Obama in A Changing America
2015