Siri ya Dhabihu Siri ya Dhabihu

Publisher Description

Kila unapotoa sadaka yako iwe kwa yatima, wajane, kanisani au sadaka yoyote Yesu anakuwepo kusimamia mwenyewe binafsi bila kumtuma mtu kuhakikisha njinsi unavyotoa na kutumia sadaka yako kuyasoma na kufafanua maisha yako. Kumbuka kazi zingine alikuwa anawatuma wanafunzi wake kumwakilisha na mifano ipo mingi; alipotaka wakahubiri injili aliwatuma wawili wawili yeye akabaki mjini; alipotaka fedha ya kodi alimtuma Petro akavue samaki yeye alibaki mjini; walipofika mji wa Samaria aliwatuma kwenda mjini kununua chakula cha mchana yeye akabaki kisimani kuongea na mwanamke msamalia; walipomaliza kuhubiri aliwatanguliza wanafunzi wake kwenda ngámbo yeye akaenda mlimani kuomba.

Lakini wakati wa kutoa sadaka mambo yalibadilika; hakutuma mtu bali alikwenda kusimamia mwenyenye na kuangalia mmoja baada ya mwingine alivyokuwa akitoa sadaka. Hali hii inaonyesha siri kubwa ya kiroho ya sadaka yako katika ulimwengu wa roho. Kumbuka sadaka yako mbele za Mungu ni tendo takatifu na la rohoni kuliko watu wenavyofikiria. Sadaka sio tendo la kukamilisha mtiririko wa ibada bali ni tabia ya Mungu wetu na sisi watoto wake lazima tuishi maisha hayo.

GENRE
Non-Fiction
RELEASED
2020
24 September
LANGUAGE
SW
Swahili
LENGTH
40
Pages
PUBLISHER
Charles Nakembetwa Shamsulla
SIZE
121.6
KB

More Books by Charles Nakembetwa Shamsulla

The Power of Lending and Borrowing The Power of Lending and Borrowing
2021
In the Offering Basket of Jesus In the Offering Basket of Jesus
2020
The Lord Appeared to Me The Lord Appeared to Me
2020
Maono Niliyoona Maono Niliyoona
2020
You Can Conquer ALL Diseases You Can Conquer ALL Diseases
2020
Steps to Child Care Steps to Child Care
2017