Fasihi Simulizi: Kwa Shule Za Sekondari
Publisher Description
Kitabu cha Fasihi Simulizi kimetungwa kwa wanafunzi wa shule za sekondari ili kuwasaidia kujiandaa kwa mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne (K.C.S.E.).katika somo la Kiswahili hususan Fasihi Simulizi.