Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Maneno Yenye Asili Ya Kibantu Peke Yake
-
- 25,00 kr
-
- 25,00 kr
Publisher Description
Wataalam wa lugha hii wamekua wakitushauri kwamba lugha haijitoshelezi kwa maneno .Yaani haina maneno yake maalum.Lugha hii ilisanya maneno kutoka lugha mbali mbali ndipo ikaweza kutambulika.Sasa,mbona Waswahili wasijitungie lugha wenyewe ili ipate kujitoseleza.Ndio yaliyomo kwenye kitabu hiki.