Kama Ndugu Yako Akitenda Dhambi Kama Ndugu Yako Akitenda Dhambi

Kama Ndugu Yako Akitenda Dhambi

    • USD 2.99
    • USD 2.99

Descripción editorial

Hatuwezi kuepuka kabisa matatizo yanayotokea kati ya mshirika na mshirika kama inavyokuwa kati ya watoto wetu katika familia. Bwana Yesu alijua ya kuwa mgongano hauna budi kutokea ndiyo maana akatoa namna ya kukabiliana nayo katika maadiko. Kwa umuhimu wa pekee kabisa katika maandiko kutoka Mathayo 18:15-17. Kifungu hiki kinatuonyesha jinsi ya kukabiliana na matatizo baina ya muumini na muumini. Vinatoa jinsi iliyosalama katika kumrejesha ndugu aliyeanguka na kuwatia moyo washirika wa kawaida, ili kutilia maanani suala la kuwarejesha na kuwasaidia ndugu walioanguka ili kuwatia moyo katika wakati wao wa udhaifu.

Kitabu hiki kinachunguza mafundisho ya Yesh katika somo hili no kutuonyesha jinsi tunavyowesa kuyatumia katika misukosuko mbalimbali tunayokutana nayo.

GÉNERO
Religión y espiritualidad
PUBLICADO
2015
17 de marzo
IDIOMA
SW
Suajili
EXTENSIÓN
58
Páginas
EDITORIAL
F. Wayne Mac Leod
VENTAS
Draft2Digital, LLC
TAMAÑO
265.8
KB

Más libros de F. Wayne Mac Leod

1 de Corintios 1 de Corintios
2018
Su Fruto En Nosotros Su Fruto En Nosotros
2016
Romanos Romanos
2015
1 y 2 Samuel 1 y 2 Samuel
2023
1 y 2 de Reyes 1 y 2 de Reyes
2022
Josué, Jueces y Rut Josué, Jueces y Rut
2022