Ninang'atuka 2014 Ninang'atuka 2014

Ninang'atuka 2014

    • $3.99
    • $3.99

Publisher Description

Ni kitabu chanye hazina ya mashairi yaliyotungwa na mtunzi

aliyebobea katika fani ya utunzi wa nyimbo, tenzi na mashairi.

Mtunzi wa kitabu ametunga tungo za kitabu hiki akifuata na kulinda

maadili ya lugha ya Kiswahili kwa malengo ya kuelimisha, kuburudisha na

kufundisha jamii zote. Usomapo kitabu hiki utapata uhondo kamili wa

lugha ya Kiswahili kwani mtunzi wa kitabu ametumia maneno ya Kiswahili

sanifu, Kiswahili cha mitaani na maneno aliyoyatohoa kutoka lugha mbali

mbali ambayo hutumiwa kwa wingi mitaani.

Katika kurasa za mwisho za kitabu hiki, mtunzi ameweka kamusi ya

Kiswahili cha mitaani ili wale wasioelewa Kiswahili cha mitaani waweze

kupata burudani kamili wanaposoma ama wanapoimba mashairi yake.

GENRE
Fiction & Literature
RELEASED
2013
December 26
LANGUAGE
SW
Swahili
LENGTH
89
Pages
PUBLISHER
Xlibris US
SELLER
AuthorHouse
SIZE
156.8
KB
Nimebadilika 2011 Nimebadilika 2011
2011
Mfalme - Nilipumzika Mfalme - Nilipumzika
2023