Ninang'atuka 2014
-
- $3.99
-
- $3.99
Publisher Description
Ni kitabu chanye hazina ya mashairi yaliyotungwa na mtunzi
aliyebobea katika fani ya utunzi wa nyimbo, tenzi na mashairi.
Mtunzi wa kitabu ametunga tungo za kitabu hiki akifuata na kulinda
maadili ya lugha ya Kiswahili kwa malengo ya kuelimisha, kuburudisha na
kufundisha jamii zote. Usomapo kitabu hiki utapata uhondo kamili wa
lugha ya Kiswahili kwani mtunzi wa kitabu ametumia maneno ya Kiswahili
sanifu, Kiswahili cha mitaani na maneno aliyoyatohoa kutoka lugha mbali
mbali ambayo hutumiwa kwa wingi mitaani.
Katika kurasa za mwisho za kitabu hiki, mtunzi ameweka kamusi ya
Kiswahili cha mitaani ili wale wasioelewa Kiswahili cha mitaani waweze
kupata burudani kamili wanaposoma ama wanapoimba mashairi yake.