Mwongozo wa Chozi la Heri: Maswali na Majibu Mwongozo wa Chozi la Heri: Maswali na Majibu

Mwongozo wa Chozi la Heri: Maswali na Majibu

    • $3.99
    • $3.99

Publisher Description

Mwongozo huu umetayarishwa kimaksudi kwa lengo la kuwafaa wanafunzi na walimu katika uchambuzi wa vipengele mbalimbali riwaya ya Chozi la Heri. Vipengele hivi ni pamoja na ploti, dhamira, maudhui, mbinu za lugha, wahusika na uhusika wao. Ni mwongozo ambao unarahisisha uelewaji wa masuala yanayoonekana changamano na tata kwa kutoan msuko ulio sahili. Mwongozo huu ni wa kipekee kwa maana una maswali kadha ya kumchokonoa mwanafunzi. Isitoshe, maswali haya yametolewa majibu yenye hoja za kuridhisha. Majibu haya yanalenga hasa matarajio ya watahini na mitindo mipya ya kutahini ambapo unapata mwanafunzi anahitajika kuandika hoja kumi na nne kujibu swali moja. Kuna aina mbalimbali za maswali. Kuna yale ya dondoo, ya kujadili pamoja na yale ya kuthibitisha kauli ama usemi fulani kutoka kwenye riwaya. Kwa kifupi, huu ni mwongozo wa aina yake ambao haumwonjeshi tu msomaji asali bali unampa fursa ya kuchovya moja  kwa  moja  ndani ya buyu lenyewe.

GENRE
Reference
RELEASED
2021
28 March
LANGUAGE
SW
Swahili
LENGTH
40
Pages
PUBLISHER
SHADRACK KIRIMI
SELLER
Draft2Digital, LLC
SIZE
124.8
KB

More Books by SHADRACK KIRIMI

Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge Mwongozo wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyinginge
2021
Mwongozo wa Kigogo: Maswali na Majibu Mwongozo wa Kigogo: Maswali na Majibu
2021